Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Sehemu Mpya ya Mazungumzo ya Kituo cha Kiislamu cha Imam Mahdi (a.t.f.s) ilifunguliwa katika Mji wa "Sao Paulo" nchini Brazil kwa kuhudhuriwa na kundi kubwa la Wafuasi wa Ahlul-Bayt al-Bayt(a.s).
31 Oktoba 2024 - 09:02
News ID: 1499955