ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  1. Home
  2. service
  3. Habari Muhimu

Habari Pichani | Bendera kubwa ya Palestina ikipepea nchini Brazil

Kulingana na Shirika la Habari la Ahlul_Bayt - ABNA - Katika mkesha wa mkutano wa kilele wa Kundi la 20, utakaofanyika kati ya Novemba 18 na 19 huko Rio de Janeiro, Brazil, idadi kadhaa ya raia wa Brazil walipeperusha bendera kubwa ya Palestina kwenye ufuo wa Copacabana ili kuonyesha uungaji mkono wao kwa Palestina.

15 Novemba 2024 - 08:22
News ID: 1504574
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom