Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - ABNA - Swala ya Ijumaa ya Mashia iliswaliwa huko Marekani; wakiongozwa na Hujjat al-Islam Wal-Muslimina "Muhammad Ali Elahi" katika kituo cha "Nyumba ya Hekima ya Kiislamu / Dar al-Hikma al-Islamiya" katika Mji wa "Dearborn" katika jimbo la "Michigan".
16 Novemba 2024 - 15:59
News ID: 1505051