Kwa mujibu wa Shirika la habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Ilichapishwa Video ikimuonyesha muadhini akisoma adhana ya Sala kutoka katikati ya Msikiti ulioharibiwa na Kubakia ni gofu katika mashambulizi ya Israel, katika mji wa Tiro, Kusini mwa Lebanon.
19 Novemba 2024 - 16:42
Msimbo wa Habari: 1506141