Kwa mujibu wa shirika la habari la Ahl al-Bayt (a.s) - ABNA - Wanaharakati watetezi wa Palestina wanaopinga uuzaji wa silaha za Marekani kwa utawala wa Kizayuni walifanya maandamano siku ya Jumanne katika jengo la Bunge la Marekani, na baadhi yao walikamatwa kwa uingiliaji kati wa Polisi.
20 Novemba 2024 - 18:01
News ID: 1506596