Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Vikosi vya utawala ghasibu wa Kizayuni vimeharibu / vimebomoa Msikiti mmoja katika eneo la Tayir Harfa, lililoko katika Mji wa Tiro Kusini mwa Lebanon, kwa kutumia tingatinga na mashine yenye vifaa vizito.
24 Novemba 2024 - 16:31
News ID: 1507648