Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Vyombo vya Habari vya Palestina vilichapisha picha ya kuharibiwa kwa Mnara wa Msikiti katika Mji wa Rafah Kusini mwa Ukanda wa Gaza kwa kutumia tingatinga za Utawala Haram wa Kizayuni.
10 Desemba 2024 - 19:26
Msimbo wa Habari: 1512751