Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - ABNA - Sherehe ya kuzaliwa kwa Hadhrat Fatima Zahra (s.a) ilifanyika kwa kuhudhuriwa na kundi kubwa la Wapenzi na Wafuasi wa Shule (Madrasat) ya Shia katika Kituo cha Kiislamu cha "Husseiniy" huko katika Mji wa "Newport", nchini Wales.
25 Desemba 2024 - 15:51
News ID: 1516866