Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - Abna -, Kwa mnasaba wa kuzaliwa kwa Imam Hassan al-Mujtaba (a.s), sherehe ya hadhara kubwa ya watu imefanyika katika Madhabahu (Haram) Tukufu ya Imam Ali (a.s) kwa kuhudhuriwa na Mazuwwari na kundi la Wasomi, Wataalamu wa Mashairi, Maveterani na Mahudumu wa Shaairi za Husseini (as).
16 Machi 2025 - 20:19
News ID: 1543023
Your Comment