Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Leo hii (jana 17/3/2025) kumefanyika tukio muhimu kwa wafuasi wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) Jijini Arusha, nalo ni ufunguzi wa Husseiniyyah Mpya kwa jina la Imamu Ridha (a.s), chini ya Usimamizi wa Taasisi ya Sayyid al-Shuhadaa (a.s), inayoongozwa na Samahat Sheikh Maulid Hussein Kundya.

18 Machi 2025 - 01:05

Your Comment

You are replying to: .
captcha