Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Hafla ya ya kuhuisha Usiku wa 19 wa Ramadhan imefanyika kwa hisia na shauku kubwa ya wafuasi wa Amirul Momineen (a.s) katika Msikiti wa Soltanieh huko Mazar-e-Sharif, Afghanistan.
20 Machi 2025 - 17:12
News ID: 1543844
Your Comment