Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Sambamba na kumbukumbu ya Kifo cha Kishahidi cha Amirul Muuminina (AS), Maandamano ya maombolezo yamefanyika yakihudhuriwa na Ayatollah Al-Udhma Hossein Vahid Khorasani ambaye ni katika Marajii Taqlid wa Ulimwengu wa Shia Ithna Ashari. Maandamano haya ya maombolezo yameanzia nyumbani kwa Marjii huu Taqlid hadi kwenye Haram Tukufu ya Hazrat Fatima Maasoumah (s.a).

23 Machi 2025 - 00:12

Your Comment

You are replying to: .
captcha