Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Imepokewa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwamba amesema:" "مَنْ قَامَ لَيْلَةَ الْقَدْرِ إِيمَانًا وَاحْتِسَابًا غُفِرَ لَهُ مَا تَقَدَّمَ مِنْ ذَنْبِهِ" "Atakayesimama (kuswali na) kuhuisha Usiku wa Laitatul - Qadr kwa imani na kutarajia malipo, atasamehewa dhambi zake za zilizotangulia". المصدر: فضائل الأشهر الثلاثة: 136 / 144 Rejea: Fadhail al_Ash-huri al_Thalatha: 136 / 144.

23 Machi 2025 - 22:00

Your Comment

You are replying to: .
captcha