Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (A.S.) - Abna - Hafla ya kuhuisha Usiku wa 23 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ilifanyika katika Madhabahu Tukufu ya Hadhrat Fatima Maasoumeh (SA) katika Mji Mtukufu wa Qom kwa kuhudhuriwa na wapenzi na wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) isma na utoharifu (amani iwe juu yao).

24 Machi 2025 - 18:05

Your Comment

You are replying to: .
captcha