Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -Abna-; Imam Ali bin Abi Talib (a.s) anasema kuhusu uhakika wa Dunia: "Dunia inapomgeukia mtu (na ikawa upande wake na kwa ajili yake), basi humkopeshe mema na mazuri ya wengine, lakini dunia hii hii inapomgeuka mtu (huyo na kuwa dhidi yake), huchukua (hundoka toka kwa mtu huyo; tena kwa kumpokonya na kuyachukua) mazuri yote na mema yake mwenyewe".

24 Machi 2025 - 21:48

Dunia ikiwa kwa ajili yako, na ikiwa dhidi yako

قَالَ علي [عليه السلام]:

"إِذَا أَقْبَلَتِ الدُّنْيَا عَلَى أَحَدٍ أَعَارَتْهُ مَحَاسِنَ غَيْرِهِ وَ إِذَا أَدْبَرَتْ عَنْهُ سَلَبَتْهُ مَحَاسِنَ نَفْسِهِ"

Your Comment

You are replying to: .
captcha