Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - Abna - Ibada ya kusoma sehemu ya Qur'an Tukufu hufanyika kila siku wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kutokana na juhudi za Haram ya Maimamu wawili al-Askariyyayni (aamani iwe juu yao) katika Msikiti wa Imam Hakim, katika Mji wa "Tal Afar", katika Mkoa wa Nainawa, Kaskazini mwa Iraq.
26 Machi 2025 - 21:36
News ID: 1545066
Your Comment