Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-; Wakati wa kujivunia kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran🇮🇷baada ya kufuzu kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026. Hii ni mara ya 7 kwa Iran kufuzu kwa ajili ya michuano hiyo ya Kombe la Dunia. Ushindi huu umepatikana katika Mechi ya Siku ya Jumanne baada ya Mehdi Taremi kufunga mabao mawili kipindi cha pili na kuifanya timu yake kutoka sare ya 2-2 na Uzbekistan kwenye Uwanja wa Azadi Mjini Tehran katika Mchujo wa Kundi A la Asia.

27 Machi 2025 - 03:19

Your Comment

You are replying to: .
captcha