Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna -; Programu maalum za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani zinafanyika katika vituo 11 vya Kidini nchini Tanzania kwa kushirikisha Mashia wa nchi hii chini ya Ufadhili wa Taasisi ya Hojjatul- Asr (a.t.f.s) ya Tanzania. Miongoni mwa programu hizo maalum ni Kusoma Qur'an Tukufu, Kusoma cha Dua ya Iftitah, Kikao Maalum cha Tafsiri ya Qur'an, Muhadhara wa Kimadhehebu, Kusimamisha Sala ya Jamaa, na kushiriki kwa pamoja katika Meza ya Iftar.

27 Machi 2025 - 23:42

Your Comment

You are replying to: .
captcha