Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA -: Waislamu nchini Burudni, wamejitokeza leo hii katika Siku ya Kimataifa ya Quds na kufanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuungana na Dunia nzima katika kuitetea Haki yA Wapalestina na kupinga jinai na udhalimu wa utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi Taifa la Palestina.
29 Machi 2025 - 02:22
News ID: 1545559
Your Comment