Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Hojjat Al-Islam wal Muslimin, Sheikh Dr.Ali Taqavi, na Waumini mbalimbali katika Jiji la Dar-es-salaam - Tanzania, wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika Mazishi na Maziko ya Marhuma Ukhti Fatima Mwiru yaliyofanyika Leo hii Jumamosi (29 Machi, 2025), Maeneo ya Kisarawe - Kimani, Dar-es-salaam - Tanzania.

29 Machi 2025 - 18:59

Habari Pichani | Waumini wajitokeze kwa wingi katika Mazishi na Maziko ya Marhuma Ukhti Fatima Mwiru

Your Comment

You are replying to: .
captcha