Kwa mujibu wa Shirika la habari la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Waislamu wa Palestina wamesali Sala ya Eid al-Fitr kwa uwepo wa mahudhurio mazuri sana katika Msikiti wa Al-Aqsa.
30 Machi 2025 - 14:45
News ID: 1545876
Your Comment