Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Hafla ya Siku ya Quds Duniani ilifanyika katika Seminari ya Hazrat Sahib al-Zaman (a.t.f.s) katika Mji wa "Nakuru" nchini Kenya. Wazungumzaji mbalimbali kutoka Dini tofauti wakiwemo Shia, Sunni na wafuasi wa Ukristo walitoa hotuba zao katika hafla hii.
30 Machi 2025 - 15:14
News ID: 1545883
Your Comment