Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Sambamba na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ibada ya kusoma Qur'an Tukufu hufanyika kila Siku saa 16:30 katika Husseiniyyah ya Irshad, iliyoko kwenye Mtaa wa Ibn Sina huko Isfahan, Iran.
30 Machi 2025 - 15:25
News ID: 1545884
Your Comment