Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-; Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania T.I.C, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge ameongoza Khutba na Swala ya Eid al-Fitr, ndani ya Masjid Ghadir, Kigogo Post, Dar-es-salaam - Tanzania.
31 Machi 2025 - 12:25
News ID: 1546067
Your Comment