Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Sambamba na Swala Adhimu ya Eid al-Fitr kote nchini, maelfu ya Waumini wa Tehran walisali Sala ya Eid al-Fitr asubuhi ya leo chini ya Uongozi (Uimam) wa Ayatollah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika Msikiti wa Imam Khomeini (RA) na mitaa ya jirani, inayouzunguka Msikiti huo.

1 Aprili 2025 - 00:25

Ripoti ya Picha | Sala ya Eid al-Fitr iliyoongozwa na Kiongozi wa Mapinduzi

Your Comment

You are replying to: .
captcha