Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Sambamba na Swala Adhimu ya Eid al-Fitr kote nchini, maelfu ya Waumini wa Tehran walisali Sala ya Eid al-Fitr asubuhi ya leo chini ya Uongozi (Uimam) wa Ayatollah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika Msikiti wa Imam Khomeini (RA) na mitaa ya jirani, inayouzunguka Msikiti huo.
1 Aprili 2025 - 00:25
News ID: 1546196
Your Comment