Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Sambamba na Mwezi Mtukufu wa Ramadhan (1446 AH) Dar-ul-Muslimeen ilipata fursa adhimu ya kufanya Mashindano ya Qur'an Tukufu katika kipengele cha kuhifadhi (Hifdh) kwa Wanafunzi wa Dar-ul-Muslimeen Nursery, Shule ya Msingi na Sekondari. Mashindano haya hufanywa kwa kila mwaka. Na Washindi na Washiriki wote walifanikiwa kupokea zawadi, Al-Hamdulillah.

5 Aprili 2025 - 21:33

Habari Pichani | Mashindano ya Qur'an Tukufu katika kuhuisha Utajo wa Qur'an Tukufu, Dodoma - Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha