Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA- Ushirikiano Mwema baina ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Wadau Wa Maendeleo waendelea kuleta tija na hatimae Wagonjwa Wafurika kwa ajili ya Huduma za Tiba ya Macho Bure chini ya Taasisi ya Bilal Muslim Tanzania, ndani ya Tanga - Tanzania. Na kazi hii ya utoaji wa huduma hii inaendelea mpaka Siku ya Jumatatu. Picha hizi ni kwa hisani ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kwakivesa, Handeni, Tanga, ndugu Habib Mbota (Moja kwa Moja), anaye ratibu utoaji wa huduma hii kwa wakazi wa Mkoa wa Tanga.
5 Aprili 2025 - 22:16
News ID: 1546971
Your Comment