Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) - ABNA - Kumefanyika maandamano makubwa katika Mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kwa kushirikisha idadi kubwa ya Wapalestina, kulaani jinai na hujuma zinazoendelea kufanywa na jeshi la Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.
8 Aprili 2025 - 15:27
News ID: 1547677
Your Comment