Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlu-Bayt (a.s) - ABNA - Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Biteko awapongeza Walimu wa Al-Muntadhir kwa Malezi ya Watoto katika mkusanyiko mkubwa wa watu uliofanyika leo hii katika viwanja vya Shule ya Al-Muntadhir ili kuadhimisha Siku ya Usonji Duniani. Mkusanyiko huo ulikuwa na lengo la kuwambia walimwengu kuwa Watanzania tunambua na kujali watoto wenye mahitaji maalum. Naibu Waziri amesema: Shule za Al-Muntadhir zimeanza na sisi washiriki tuna wajibu wa kuendeleza na kuenzi azma hii.
8 Aprili 2025 - 23:22
News ID: 1547807
Your Comment