Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Ujenzi wa Madrasat Imam Baqir (a.s) unaendelea (9/4/2025). Katika picha hizi, ujenzi huo umefikia katika hatua ya kupaua. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kukamilika kwa hatua ya kuinua kuta za jengo husika. Madrasat hii inayojengwa inaitwa kwa Jina la Imam Baqir (a.s), ambapo inajengwa chini ya Usimamizi na Uongozi wa Samahat Sayyid Arif Naqvi, Mkuu wa Taasisi Hojjat-ul- Asr Society Of Tanzania.
10 Aprili 2025 - 01:52
News ID: 1548095
Your Comment