Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Ujenzi wa Madrasat Imam Baqir (a.s) unaendelea (9/4/2025). Katika picha hizi, ujenzi huo umefikia katika hatua ya kupaua. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kukamilika kwa hatua ya kuinua kuta za jengo husika. Madrasat hii inayojengwa inaitwa kwa Jina la Imam Baqir (a.s), ambapo inajengwa chini ya Usimamizi na Uongozi wa Samahat Sayyid Arif Naqvi, Mkuu wa Taasisi Hojjat-ul- Asr Society Of Tanzania.

10 Aprili 2025 - 01:52

Habari Pichani | Madrasat Imam Baqir (a.s) Tanzania | Ujenzi wa Madrasat hii unaendelea eneo la Utete - Tanzania.

Your Comment

You are replying to: .
captcha

Comments

  • Published Comments: 10
  • Pending Comments: 0
  • Rejected Comments: 0
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.
  • Abuu Kauthar TZ 23:56 - 2025/04/10
    0 0
    Asalam Alaykum,tunaomba nasi mtufikie huku tulipo,wilaya Monduli mkoa Arusha Tanzania,tuna taarifa muhimu na nyingi zinazo husu harakati za Alhul bayt a.s, lakini pia tunazo fursa na ardhi za waqfu tulizo nazo,kwa ajili ya wafuasi wa Ahlul bayt wanaohitaji kuja kuendeleza tabligh. Tunaomba sana mje kututembelea na karibuni sana.