Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Katika picha ni Wanafunzi wa Hawzatul-Qaim (a.t.f.s) wakiwa na Mwalimu wao 'Dr.Walid Alisuwailam', akiwa amewawekea Daura muhimu yenye lengo la kuwafundisha namna sahihi ya kuchinja. Daura hii ya Kiilmu itakuwa inaendelea kila siku ya Alhamisi kama Somo la Fiqh kwa Vitendo.
13 Aprili 2025 - 00:58
News ID: 1548694
Your Comment