Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Mkutano na Rais wa Umoja wa Wanafunzi Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza. Katika safari yake ya Mwanza, Dk. Maarefi alikutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Jaft Njawale, Rais wa Umoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT). Mada kuu zilizojadiliwa ni pamoja na kuweka msingi wa programu za pamoja za kitamaduni na kielimu, pamoja na kusainiwa kwa makubaliano ya ushirikiano.

13 Aprili 2025 - 17:17

Dk. Maarefi akutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Jaft Njawale, Rais wa Umoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Augustino Tanzania (SAUTI)

Your Comment

You are replying to: .
captcha