Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Hawzat Zainab (sa) ambayo ni Hawzat ya Mabanati ya Jamiatul - Mustafa (s) - Dar-es-salaam - Tanzania chini ya Uongozi na Usimamizi wa Hojjat al-Islam wal Muslimin, Dr. Ali Taqavi, iliyopo katika maeneo ya Kigamboni - Dar-es-salaam - Tanzania, wakiwa katika Mashindano ya Hifdhi ya Qur'an Tukufu. Hivi sasa mashindano yamefikia katika hatua ya kumpata au kuwapata washindi walio Hifadhi Juzuu 3, Juzuu 7, na Juzuu 30 kabla ya kikao rasmi cha mwisho cha kufanya majumuishi ya Mashindano haya ya Hifdhi ya Qur'an Tukufu na hatimaye kutangaza washindi.

13 Aprili 2025 - 17:49

Mashindano ya Hifdhi ya Qur'an katika Hawzat ya Mabanati ya Jamiatul - Mustafa (s) - Dar-es-salaam - Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha