Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Tamasha hili limefanyika kwa mafanikio makubwa chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa, Dar-es-salaam - Tanzania - Dr. Ali Taqavi.

14 Aprili 2025 - 00:13

Wanafunzi wa Jamiatul-Mustafa (S) - Tanzania - Dar-es-salaam, na wengine wa vyuo vingine mbalimbali vya Nchini Tanzania, wameshiriki kwa shauku na hamasa kubwa katika Mashindano haya ya Hifdhi ya Qur'an Tukufu na Hadithi.

Ripoti Katika Picha | Tamasha la 30 la Kimataifa la Al-Mustafa la Qur'an na Hadithi - Dar-es-salaam, Tanzania limefanyika kwa mafanikio makubwa

Your Comment

You are replying to: .
captcha