Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ya Mwaka huu 1446H, Taasisi ya Darul Muslimeen - Dodoma Tanzania, ilijihusisha na utoaji wa Huduma mbalimbali za kijami. Miongoni mwa huduma hizo ni pamoja na kupata heshima ya kusambaza vyakula vya Iftar na Daku kwa Madrasa mbalimbali za Kiislamu na vituo vya Bweni vya Wanafunzi wa Kidini, vinavyopatikana katika viunga vya Mji wa Dodoma, Tanzania.
14 Aprili 2025 - 00:49
News ID: 1549043
Your Comment