Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Mabanati wa Hawzah ya Hazrat Zainab (amani iwe juu yake), wakiwa katika hali ya kujishughulisha na kazi ya Kilimo. Kila mmoja wao katika kundi la watu watatu, anamiliki kipande cha ardhi. Wanalima na kupanda mazao yao, na wakati wa kuvuna, sisi (Uongozi wa Jamiat Al-Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania) tunanunua mavuno / bidhaa hizo kutoka kwao. Kilimo ni UTI wa Mgongo wa Uchumi wetu. Hivyo tufikiri zaidi na kuwaza katika Kilimo. Tujaribu kufanya Kilimo hata kwa kiasi kidogo.
14 Aprili 2025 - 14:55
News ID: 1549186
Your Comment