Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Katika picha ni wanafunzi wa Hawzat Imam Ali (a.s) wakisoma Dua muhimu ya Kumail bin Ziyad ambayo husomwa kila Alkhamis Usiku wa Kuamkia Ijumaa. Dua hii ni muhimu na Muislamu unasisitizwa kuisoma kila wiki, ukishindwa usiache kuisoma kila Mwezi walau mara moja, na ukishindwa kabisa basi kwa Mwaka mara moja hakikisha unaisoma.

17 Aprili 2025 - 20:14

Dua ya Kumail Bin Ziayad ikisomwa katika Madrasa ya Imam Ali (a.s) Zanzibar

Your Comment

You are replying to: .
captcha