Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Hojjatul Islam wal Muslimin, Dr. Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (s) Dar-es-Salam - Tanzania kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa JMAT-TAIFA, Samahat Sheikh Dr. Alhad Musa Salum, anaendelea na vikao mbalimbali na muhimu katika muktadha wa maandalizi ya Hafla kubwa ya Qur'an Tukufu itakayofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Mkapa Jijini Dar-es- Salam. Hafla hii ya Qur'an Tukufu itawahusisha wasomaji mahiri wa Qur'an Tukufu kutoka Tanzania, Zanzibar na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Qur'an Tukufu ni Uhai wa Nyoyo.

17 Aprili 2025 - 20:48

Picha | Hafla kubwa ya Qur'an Tukufu kufanyika Jijini Dar-es-Salam, Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) Dar-es-Salam- Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha