Shirika la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Darsa la Akhlaq na Maadili ya Kiislamu linaendelea kila siku asubuhi katika Chuo cha Jamiat al-Mustafa (s) - Dar-es-Salam likibeba anuani ya Subhi ya Kimaanawi / Kiroho. Mwanadamu anatakiwa daima kuishi maisha ya kiroho. Maisha hayo ya kiroho, ndio maisha bora na yaliyojaa kuridhika na ukaribu kwa Mfalme Mwenye Uwezo, Mola wa Walimwengu wote.
17 Aprili 2025 - 21:08
News ID: 1550053
Your Comment