Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Mashindano ya nusu Fainali ya Qur'an Tukufu yanaendelea Jamiat - Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania.Wanafunzi kutoka katika Hawza na Madarisi mbalimbali wanashiriki katika Mashindano haya Matukufu ya Qur'an Tukufu. Shukran za dhati zimwendee Dr. Ali Taqavi kwa kuendelea kusimamia vyema mashindano haya ya Qur'an Tukufu nchini Tanzania, Zanzibar, Burundi na Malawi. Mbebaji wa Qur’an ni Mbeba Bendera ya Uislamu.

20 Aprili 2025 - 16:32

Habari Pichani | Mbebaji wa Qur’an ni Mbeba Bendera ya Uislamu - Mashindano ya Nusu Fainali ya Qur'an Tukufu, Jamiat Al-Mustafa (s) Dar-Es-Salam

Your Comment

You are replying to: .
captcha