Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Mufti Mkuu wa Burundi wa Madhehebu ya Ahlu-Sunna, Sheikh Ndikumagenge Masudi akiambatana na Mwenyekiti wake na watendaji wa Ofisi yake katika Ziara yake Nchini Tanzania, alipata fursa ya kumtembelea Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (T.I.C), Maulana Sheikh Hemed Jalala na kubadilishana fikra na mawazo katika suala muhimu la kuutumikia Uislamu na Waislamu.
22 Aprili 2025 - 19:45
News ID: 1551450
Your Comment