Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Mh. Dr. Maasa Ole Gabriel, pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa JMAT-TAIFA, Samahat Sheikh Dr. Abdur - Razak Amiri wamewakutanisha viongozi wote wa ngazi za juu waliopo katika Jiji la Arusha, ambapo wamekaa pamoja na kujadili masuala mbalimbali na muhimu katika Muktadha wa Maridhiano na Amani ya Taifa letu la Tanzania.
22 Aprili 2025 - 20:05
News ID: 1551461
Your Comment