Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Kipindi cha Darsa la Qur'an Tukufu kinachofanyika kila Siku ya Alhamisi katika Hawzat ya Kisayansi ya Jamiat al-Mustafa (sa) Dar-es-Salam - Tanzania, kikiongozwa na Sheikh Alhaj Muhammad Jafar. Katika Darsa la leo, Aya Tukufu za Shifaa zimechunguzwa kwa kina zaidi na kutolewa ufafanuzi wake na maana zake.

24 Aprili 2025 - 14:32

Darsa la Qur'an Tukufu la kila Siku ya Alhamisi | Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-salaam - Tanzania + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha