Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian alijitokeza Leo hii kwenye uwanja wa soka kabla ya kuadhimisha Wiki ya Wafanyakazi na kushiriki katika mchezo ulioshirikisha Timu ya Wafanyakazi na Timu ya Maveterani, akisherehekea michango ya Wafanyakazi kote nchini. ⚽️Michezo ni Afya.

25 Aprili 2025 - 21:34

Michezo ni Afya | Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian, akishiriki katika mchezo wa soka kusherehekea Michango ya Wafanyakazi Kote Nchini + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha