Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Wanafunzi wa Jamiat Al-Mustafa (s) wakiwa katika Mitihani yao ya kila Wiki. Mitihani hii hufanyika kila Siku ya Jumamosi katika Chuo hiki. Ni Mitihani muhimu inayomsaidia Mwanafunzi kujiimarisha zaidi katika masomo yake na kuzidisha uzingativu zaidi katika kile anachofundishwa darasani. Hatua hii humjenga Mwanafunzi na kumuimarisha Kielimu, na hatimaye kuwa Mwanafunzi bora aliyefanikiwa katika masomo yake.
26 Aprili 2025 - 15:57
News ID: 1552454
Your Comment