Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-bayt (AS) - Abna - Maombolezo ya wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) katika Wilaya ya Ras al-Rumanm, Bahrain yalifanyika kwa juhudi za Idara ya Ashbal al-Zahra, kwa kushirikiana na wapenzi wafuasi wa Ahlul Bayt (A.S) katika kuhuisha kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ja'far al-Sadiq (A.S) katika Mji wa Ras al-Ruman, Bahrain.
27 Aprili 2025 - 19:19
News ID: 1552875
Your Comment