Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-bayt (AS) - Abna - Maombolezo ya wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) katika Wilaya ya Ras al-Rumanm, Bahrain yalifanyika kwa juhudi za Idara ya Ashbal al-Zahra, kwa kushirikiana na wapenzi wafuasi wa Ahlul Bayt (A.S) katika kuhuisha kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ja'far al-Sadiq (A.S) katika Mji wa Ras al-Ruman, Bahrain.

27 Aprili 2025 - 19:19

Habari Pichani | Maombolezo ya Wafuasi wa Ahlul-Bayt (as), Wilaya ya Ras Al-Ruman, Bahrain katika Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ja'far Sadiq (AS)

Your Comment

You are replying to: .
captcha