Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt(a.s) – ABNA – Dkt. Sayyid Mohammad Amin Aghamiri, Mjumbe wa Baraza Kuu la Mitandao na Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Mitandao cha Iran, akiwa ameambatana na ujumbe wake, alifanya ziara katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) Mjini Qom na kukutana na Ayatollah "Reza Ramezani", Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo.

1 Mei 2025 - 19:56

Habari Pichani | Kikao cha Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Mitandao na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s)

Your Comment

You are replying to: .
captcha