Kwa Mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) – ABNA – Hujjatul Islam Sayyid Alaa Kazim Al-Husseini, Mkurugenzi wa Redio ya Ataba ya Husseiniyya, Dkt. Mazen Al-Hassani, Mhariri Mkuu wa Jarida la Al-Hafidh, na Hassan Hadi Al-Jabouri, Mlezi wa Haram ya Salman al-Farsi (RA), walifanya ziara katika Shirika la Habari la ABNA na kufanya mazungumzo kuhusu wajibu na misingi ya uwasilishaji wa vyombo vya habari wa mafundisho ya Maktaba ya AhlulBayt (a.s).

5 Mei 2025 - 18:43

Ripoti ya Picha | Ujio wa Viongozi wa Vyombo vya Habari vya Ataba ya Husseini katika Shirika la Habari la ABNA

Your Comment

You are replying to: .
captcha