Kulingana na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-, Sherehe ya kuwavalisha vilemba kundi la Wanafunzi wa Dini wa tawi la Jamiat Al-Mustafa (s) nchini Niger ilifanyika kwa kuhudhuriwa na Ayatollah Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s).
29 Mei 2025 - 09:46
News ID: 1693698
Your Comment