Kulingana na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-, Sherehe ya kumaliza masomo ya Wanafunzi wa Jamiat Al-Mustafa (s), tawi la Niger ilifanyika jijini Niamey, mji mkuu wa Niger, kwa kuhudhuriwa na Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s). Ayatollah Ramazani alisafiri kwenda Niger, nchi iliyoko Afrika Magharibi, kwa mwaliko wa viongozi wa kidini wa nchi hiyo.

29 Mei 2025 - 09:55

Sherehe ya Kumaliza Masomo ya Wanafunzi wa Jamia ya Al-Mustafa Niger kwa Maaliko ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlulbayt (as) + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha